Sawa na kisima safi
Chenye maji mengi, mema
Ni upendo wa mwokozi
Ukaao ndani yake
Yesu amelifungua
Lango zuri la mbinguni
Ili niingie humo
Kwa neema yake kuu
Yesu amelifungua
Lango zuri la mbinguni
Ili niingie humo
Kwa neema yake kuu
Kama ndege awindavyo
Mara nyingi niliumwa
Moyo wangu ulilia
Yesu hakunifukuza
Yesu amelifungua
Lango zuri la mbinguni
Ili niingie humo
Kwa neema yake kuu
Yesu amelifungua
Lango zuri la mbinguni
Ili niingie humo
Kwa neema yake kuu
Ni ajabu kubwa kweli
Alinisamehe yote
Juu ya rehema yake ninaimba kwa furaha
Yesu amelifungua
Lango zuri la mbinguni
Ili niingie humo
Kwa neema yake kuu
Yesu amelifungua
Lango zuri la mbinguni
Ili niingie humo
Kwa neema yake kuu
Asubuhi ya uzima
Nitafika mlangoni
Kwa ajili ya upendo nitapata kuingia
Asubuhi ya uzima
Nitafika mlangoni
Kwa ajili ya upendo nitapata kuingia
Yesu amelifungua
Lango zuri la mbinguni
Ili niingie humo
Kwa neema yake kuu
Yesu amelifungua
Lango zuri la mbinguni
Ili niingie humo
Kwa neema yake kuu
Yesu amelifungua
Lango zuri la mbinguni
Ili niingie humo
Kwa neema yake kuu
Yesu amelifungua
Lango zuri la mbinguni
Ili niingie humo
Kwa neema yake kuu